12 April 2011

ZIARA YA BALOZI PALE READING-UK ILIKUWA HIVI

Hivi karibuni balozi wa Tanzania nchini UK alikwenda mji wa Reading kukutana na watanzania wanaoishi hapo.Watu waliitikia mwito na shughuli ilifana kwa watu kutoa hoja zao katika anga mbalimbali.Mkutano huo pia uliwakutanisha viongozi mbalimbali wa hapa UK akiwemo mwenyekiti wa CCM tawi la UK Bw.Maina Owino.Pia Chama TA(Tanzanian Association-uk), kilicho simamia  kwa ajili ya wote kiliwakilishwa na Mwenyekiti wa TA Bw Lusingu pamoja na Wajumbe mbalimbali.Hungaz tuna waletea baadhi ya picha za matukio ya siku hiyo;-Picha kwa hisani ya mdau Shedrack Peater


Balozi Khalage(red tie) na viongozi mabalimbali wa UK

Balozi na mwenyekiti wa TA Bw Lusingu

Baadhi ya viongozi wa TA-UK


Mdau Bw Shedrack Peter akitoa dukuduku lake

Dada Hadija hakuwa nyuma katika utoaji wa hoja



Kama kawa one & only "The might B"(Baraka Baraka)alikuwepo kufanya mautundu yake

Bongo Deejays ndani ya nyumba .Hapa Mzee wa makamuzi Dj Rich akiwakilisha

Mwambenja Denja wa kwanza kulia akipata picha Meza kuu

Balozi akichati na wadau mbalimbali

Balozi akiwa na wadau mbalimbali


Bi Hadija na wadau wakisikiliza kinachoendelea

Wakifuatilia kwa kusikiliza kwa makini


Mwakilishi toka Kenya Bw Jomo aliunganisha jumuia yetu ya East Africa

 wadau mbalimbali wakiwakilisha

Mama Balozi(wapili kulia)akiwa na wadau na Mjumbe wa TA Mama Maria(wa kwanza Kushoto)

Balozi na Mama balozi na wadau

Mama balozi na wadau

No comments: