![]() |
Wakongweeeeee!!!!!..naona mnakandamiza....hapo ni nyama na veg na sea food tu kisha desert ...chips, piza na birian na pilau vitachafua tumbooo...mbele ni Bw Jose warioba na nyuma yake ni Mzee mzima Menchy Ngonyani.Nawatakia mlo mwema na kheri ya mwaka wa mafanikio |
No comments:
Post a Comment