15 February 2014

George Kahama na PaulMzindakaya ndani ya kongamano

Ndugu Paul Mzindakaya kulia akiwa kwenye Kongamano la uwekezaji mwanza.. Na Mwenyekiti wa kongamano,mwanasiasa mkongwe na mwanadiplomasia Waziri wa maendeleo ya Ushirika baraza la kwanza la mawaziri 1961-Sir George Kahama, 84 yrs of age.. Inshallah kwa mapenzi ya mungu tutafika umri huo.
Kwa hisani ya Ndugu P.Mzindakaya

No comments: