16 September 2015

UCHAGUZI MKUU TANZANIA 2015

Je matarajio ya wananchi yanalingana? na je Viongozi wanaomba kula ni wazalendo?.Hatma yake tutaijua baada ya miaka mitano ya awamu ya ya tano kwa Rais atakaye chaguliwa na  kutimiza ILANI ya chama chake.Je katika ilani ya vyama ukiwa unafuatilia siasa ya Tanzania ni ipi unayoamini kuwa itatekelezwa ipasavyo? nijulishe kwa kupitia parua pepe yangu hapa. hungazblog@gmail.com. Asanteni.

No comments: