Showing posts with label SPORTS. Show all posts
Showing posts with label SPORTS. Show all posts

11 March 2013

Mdau afunguka juu ya TFF na maendeleo ya soka nchini Tanzania

Mhe rais wa tanzania jakaya mrisho kikwete asante sana kwa mengi ulioifanyia TFF ukiwa kama mdau wa michezo .yote yanayotokea sasa tatizo ni TENGA. Anataka kufata walivyochanguana CUF juzi kura za ndiyo tu ,mimi nataka kujua TFF kuna nini mbona mpira mabadiliko atuyaoni kuna kitu TFF mpaka TENGA na watu wake mapovu yanawatoka ,Mheshimiwa rais naomba kocha

7 January 2011

HAPPY BIRTHDAY SHEIN RANGERS FOOTBALL CLUB 'S BLOG


Bonyeza hapa : http://sheinrangers.blogspot.com/
 Leo siku ya tarehe 7 January 2011 Blog hii inatimiaza miaka miwili toka kuanzishwa kwake.

Uongozi wa timu ya Shein Rangers Sports Club unapenda kutoa shukurani kwa wadau mbali mbali wanaotembelea blog hii na kutoa maoni yao, wapenzi wa michezo, blog mbali mbali marafiki na viongozi wa vilabu vya michezo marafiki na wadau wakubwa wa blog hii.
Kwa kipindi cha miaka miwili idadi ya wasomaji wa blog hii imeongezeka mara tatu zaidi ya mwaka jana na pia kwa sasa blog hii ina link na mitandao mbali mbali duniani ikiwemo mtandao maarufu duniani wa facebook.
Hapa chini tumeandaa picha na matukio muhimu yaliyoripotiwa na blog hii kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita.

Mwaka 2010 timu ya Shein Rangers iliweza kutwaa ubingwa wa UKIMWI DAY CUP 2010 mashindano yaliyoshirikisha timu na vituo mbali mbali vya michezo vya mkoa wa Dar es salaam.
Click here see more pictrure