5 February 2011

TANZIA READING UK

Tunasikitika kutangaza msiba wa mama yake Mtanzania Mwenzetu Anitha Malewo uliotokea jana usiku Tanzania. Tunaomba kumfariji mfiwa kama ilivyo desturi yetu. Msiba utakuwa 21 Don close, tilehurst, Reading, RG30 4YL.Nyumbani kwa pastor Noel, tafadhali mtaarifu na mwenzio.

No comments: