Haya hayaaaa, Mzee Yusuf amesha wasili jijini, Mzee wa chocolate, Mzee wa kuwarusha kinadada na kinamama. Vidole juu. Haya twende sasaaaaa. Mambo ya mipasho, mambo ya pwani. Jijini London jumamosi hii.
![]() |
Mzee Yusufu ndani ya uwanja wa ndege wa Heathrow UK tayari kwa makamuzi,haya wale wapendao taarabu na miondoko ya mwambao kazi kwenu...kwa hisani ya Didas Fashio UK |
No comments:
Post a Comment