Showing posts with label Tanzania Grp Facebk. Show all posts
Showing posts with label Tanzania Grp Facebk. Show all posts

18 January 2011

MAGAZETINI LEO 18/01/11

Na Kassano Mushumbusi Jonathan

NIPASHE…… Katiba Mpya, Dowans mtihani wa Makinda, Atazamwa aamue hoja binafsi za wabunge, Ni Dowans ya kafulila, Katiba ya Mnyika…..Hali yachafuka vyuo vikuu….KCMC yazidiwa, wagonjwa walia…..Polisi wahaha kuibwa dawa za kulevya kituoni…..Meya na mkakati wake wa kuingálisha Kinondoni…..
HABARI LEO…… Dawa ya mgawo wa umeme yaja, kampuni yaja kuzalisha nishati hiyo kwa makaa ya mawe, Ufuaji wa megawati 600 kuingia kwenye gridi karibuni….Pinda atoa maagizo kwa watendaji…..’Wanasiasi msiichafue Arusha”……Wawili wafa mgodini….Albino aliyekatwa miguu…..Man United yaikamia Chelsea…..

TANZANIAN DAIMA….. Slaa: Tutajibu mapigo, waandaa mkanda kamili wa video ya Arusha, Lengo ni kujibu ‘uchakachuaji wa Polisi”……Askari wa ujangili akutwa na pembe za faru wa JK……Mgomo wanukia Mkwawa, Kisa ni kuchelewa kwa fedha zao za mikopo…..Pinda apiga marufuku mifuko ya plastiki……

MWANANCHI…… Pembe za faru wa JK zabambwa MZA, Mmoja wa watuhumiwa ni ofisa wa wanyamapori……Spika akuna kichwa kuikabili Dowans……Khanga, viroba vyama madawati shuleni Dar…..Maofisa wa CAG kutinga UDOM leo…… Profesa safari angátuka CUF……Baba adaiwa kumuua mwanaye, kumzika…..

KUWA MTALII KTK NCHI YAKO KWA BEI POA


Waydaeli Josephat
 Hi,leo ninakuja hapa na swala 1 tu.Hivi mnajua kuwa nchi yetu ina vivutio vingi sana.Kama Mlima kilimanjaro,mbuga na wanyama na mengineyo ambayo yana2patiawatalii kutoka sehemu mbali mbali,ila jamani kwa nn na cc watz 2cwe watalii?kutokana na hilo Tanzanian group 2meandaa trip ya kwenda kuangalia mbuga ya wanyama ya Mikumi kwa sh 50,000 2 utaweza kwenda kutembeleambuga hizo.Karibuni sanaa.unaruhusiwa kuuliza maswali.

Trip hii itakuwa tarehe 26 na 27 mwezi 2/2011. kwa sh 50,000 utakuwa umelipia nauli ya kwenda na kurudi pamoja na sehemu ya kulala... kwa swala la chakula na vinywaji tumeona ni bora watu wajitegemee...tunategemea kukodi mabasi ya kutupeleka huko..
tiketi zimeanza kuuzwa na zina mwisho wake, ili tuweze kulipia mabasi mapema na kuwa na uhakika na kiasi cha watu watakaoenda...
karibuni sana na unaruhusiwa kumjulisha na mwingine.
kwa maelezo zaidi uliza nami ntakupatia..(.From..Tanzania group)

NB:Unaweza kumtumia ujumbe dada huyu kupitia mtandao huu pia email: hungazblog@gmail.com au toa maoni yako hapo chini kisha nitayawakilisha .