31 May 2014



Mhe.Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Bernad K Membe akiwa na Mh. Zitto Kabwe na Ndugu Rostam Azizi wakijadili mambo kwa kina. Marafiki wa Mh. Membe tunaungana na familia ya Ndugu Rostam Azizi kwa kipindi hiki kigumu ambao wamempoteza baba yao.

No comments: