29 January 2011

ASKOFU ADAKWA NA UHAMIAJI TANZANIA

Akituhumiwa sio raia !!!!!
ASKOFU wa Kanisa la House of Prayer Shield of Faith Christian
Fellowship, Fredrick Mukongo, amekamatwa na Idara ya Uhamiaji na
kupelekwa gerezani baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, kudai kuwa ni
raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Congo (DRC)......endelea hapa

No comments: