28 January 2011

POLE KAKA AGREY URIO KWA KUFIWA NA NDUGU YAKO

TANZIA READING UK


Familia ya Aggrey Urio wa Reading-United Kingdom, anasikitika kuwatangazia msiba wa Mdogo wake kilichotokea  tarehe 25/01/2011 -Tanzania.

Marehemu ni mdogo : Aggrey Urio mkazi wa Reading UK

Habari za msiba huu ziwafikie watanzania wote waishio Readinge na sehemu zingine za UK na ndugu wote, jamaa na marafiki popote walipo.Mfiwa anatakiwa kusafiri na kama ilivyo desturi yetu ,basi fikisha mchango wako ili aweze kusafiri

TEL: 07853110307; 07760404352
ADDRESS: 19 BARNWOOD CLOSE ,READING. RG30 1BY

Director Of Communication
CCM Branch -Reading ,
Berkshire .
United Kingdom


Wana hungaz tulijumuika kwenda kumpa pole kaka yetu Agrey Urio mitaa ya Reading UK kwa kuondokewa na kaka yake wa familia.mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi ...Amina

Hungaz nikiwa  na bro wangu Agrey Urio siku ya kumpa pole


Hungaz nikiwa na masela eneo  la tukio

Hungaz ,chairman na denja ndani ya bongo shop


Hungaz tukitoa pole kwa bro wetu Agrey wa kwanza kushoto


No comments: